

Bidii
Simama tena, Anza tena, Pambana tena Kuna nyakati maisha humfanya mwanadamu ajione amechelewa. Ndoto zinapovunjika, mipango inaposhindikana, na milango mingi inapofungwa mbele yake, moyo huanza kukata tamaa polepole, wengine huacha kabisa kuamini kama wanaweza tena kufanikiwa. Lakini historia ya maisha imeendelea kuthibitisha jambo moja kubwa kuwa si kila aliyeanguka ameshindwa, na si kila aliyechelewa amepoteza maisha, mara nyingi kinachomrudisha mtu kwenye mstari wa ushindi
3 days ago


































































































































