top of page

Ukaangaji wa samaki bila kupoteza virutubisho (safari yetu Kashozi VTC)

Updated: Aug 13

Kutana na wanafunzi fani ya mapishi katika chuo cha Kashozi VTC kilichoko halmashauri ya Bukoba mkoani Kagera wakionesha weledi wa katika mapishi, katika awamu ya kwanza wanatufundisha namna ya kumkaanga samaki pasipo kupoteza virutubisho

Comments


bottom of page