Ukaangaji wa samaki bila kupoteza virutubisho (safari yetu Kashozi VTC)Aug 4, 20251 min readUpdated: Aug 13, 2025https://video.wixstatic.com/video/33fdd6_fbd38706777249bdac44fdf694635973/1080p/mp4/file.mp4Kutana na wanafunzi fani ya mapishi katika chuo cha Kashozi VTC kilichoko halmashauri ya Bukoba mkoani Kagera wakionesha weledi wa katika mapishi, katika awamu ya kwanza wanatufundisha namna ya kumkaanga samaki pasipo kupoteza virutubisho
Comments