Uko wapi na wao wako wapi?
- Elisa KAIMUKILWA
- Apr 21
- 5 min read
Updated: 7 days ago
Na Mwinjilist Elisa Kaimukilwa
Kwa tamaduni za watu hasa walio wengi, baada ya kuoana hufurahi kuona familia zao zinabarikiwa kuwa na watoto, ambao wawili hao hupanga wazae watoto wangapi na pengine huwa na mapendekezo ya aina fulani ya watoto wanao wataka kwa maana ya jinsi, wakike wangapi na wakiume wangapi ingawa jambo hili linakuwa nje ya uwezo wao maana ni mipango ya Mwenyezi Mungu tu.
Want to read more?
Subscribe to montessori-tanzania.com to keep reading this exclusive post.