Hii hapa historia ya hayati Rugambwa askofu mkuu.Sep 19, 20251 min readhttps://video.wixstatic.com/video/33fdd6_2e6cbf4cff274aaaa21bb90ad5db8927/1080p/mp4/file.mp4Kufuatia kifo cha balozi wa papa askofu mkuu Rugambwa kilichotokea septemba 16 mwaka huu montessori Tanzania imezungumza na askofu mstaafu Methodius Kilaini ili kufahamu historia yake. Ni mtanzania wa kwanza kupata nafasi ya ubalozi wa papa.
Comments