Tunamuandaa mwanafunzi kushindana na soko la ajira (safari yangu Kashozi VTC)Anord JovinSep 3, 20251 min readSt Mariastella Balitazal mwalimu kiongozi katika fani ya mapishi chuo cha Kashozi VTC, akizungumzia namna chuo hicho kinavyowaandaa wanafunzi wa fani hiyo kushindana na soko la ajira baada ya masomo
Comments