Binti Domitina Audax miaka 18 mkazi wa Butelankuzi wilayani Bukoba akieleza namna anavyochukizwa na hali ya mabinti kukosa utambuzi na muongozo wa maisha suala linalopelekea kukwamisha ndoto zao, ana ndoto ya kuanzisha shirika la kuwawezesha kifikra mabinti tangu wakiwa watoto ili wajue kujithamini, kujisimamia na kukabiliana na changamoto hasi zinazowasibu.
Comments